Saturday, August 22, 2015

BNV Vs Gymkhana Fc

BVN Yapambana vita kubwa katika Viwanja Vya Gymkhana


                                  Kiwanja cha Gymkhana ambacho nyasi ziliwaka moto

 
     Captain wa BNV katika Geoffrey akifanya kupasha Misuli na Golikipa Hussein (Kushoto)         pamoja     na Tobby (kulia) tayari kabisha kupambana na Gymkhana Fc


Kikosi cha BNV kilicho anza mapambano katika viwanja vya Gmykhana,waliosimama kutoka kushoto ni Agapit,George,Wille,Eddo,Mmari,Kambi,Geoffrey,Lusesa.
walio chuchumaa kutoka kushoto ni Khamis,Mosses,Hussein,Sam na Tobby

Bnv wakiwa wana pasha pasha misuli moto kujiweka safi kabisa kwa ajili ya mpambano,Agapit,Mosses,George,Kambi,Mmari na Wille

                      Bnv beki wa kulia Remmy akiwa kwenye pozi la kupokea maelekezo.


Director Of football Kambi(mwenye jezi no 10) akitoa maelezo kwa wachezaji wenzie wa BNV kabla ya mechi,Huku Geoffrey akionekana kusisitiza kuwa pitch ni kama ile ya Nou Camp


wachezaji wa Bnv wakiwa katika tactical analysis,Aliyeshika kiuno ni mzee wa kazi Eddo akisubiria giza liingie afanye yake.

                           Bad Boy Agapit akijidai katika kiwanja cha  Gymkhana tayari kukinukisha.

Katika soka kila team ina Bad Boyz wake,hapo Eddo na Geoffrey ambao ni moja ya wanaounda Kundi la Bad Boyz wa BNV,wakisubiria filimbi tu kulianzisha


Geoffrey akiwa anaonyesha six pack zake huku akipokea maelezo ya kiufundi kutoka kwa Mtaalamu kambi

Mechi hii iliisha kwa matokeo ya Gmykhana 3 na Bnv 2 huku magoli ya Bnv yakiwa yamewekwa kimiani na Eddo Msukus na Papaa ambayo hayakutosha kuwapa ushindi.
Huku katika safu ya ushambulia Captain Geoffrey yeye aliongoza kwa kupiga pasi nyingi za mwisho.
Mchezaji bora wa mechi kwa Bnv alikuwa kiungo mkabaji Wille.

BNV iliwakikilishwa na Hussein,moses,George,Sam,Aga,Will,Kambi,Geoffrey,Eddo,Tobby n Mmmari

No comments:

Post a Comment