Monday, August 17, 2015

Boko National Veterani Kamati Kuu(KK) Cont ...
Makamu Mwenyekiti
Team ya Boko National Veteran kamati kuu inaundwa na watu makini ambao ni proffesional and well educated,ambao pia ni wanamichezo thabiti.Leo ni wakati Vice Chairman

  Jina Kamili:Edwin Polle
Nafasi KK:Makamu Mwenyekiti
  Jina la Utani:Msukus,Vice
Jezi Namba:10
Nafasi Asilia:Middle of The Park 
Nafasi Zingine:Mshambuliaji
Timu ya nyumbani anayopenda:Simba
Timu ya Epl:Liverpool
Timu ya Laliga:Real Madrid
Professional:Banker & Risk Expert

                              Edwin Polle,Makamu Mwenyekiti wa Boko National Veterani
                 Mr Edwin Polle akiwa katika majukumu ya kila ndani ya ofisi yake,na Files za kutosha

 Baada ya kazi Jembe Vice akiwa katika kambi set akifanya mazoezi ya moto kwa mikato ile ile ya merseyside
              Mtaamu Vice akitoa huduma ya kwanza baada ya team member kutokwa na povu,kwa utamu wa                       kambi set
                                           Eddo akiwa katika drilling nzito za passing
     
Vice wa Boko veterani Msukuma katika pozi la kurudi uwanjani kuendelea na set za mazoezi


Mtaalamu Eddo (mwenye miwani) akiwa katika bench katika moja ya Mechi mazoezi   akisubiria kuingia baada ya namba yake ya kudumu kuchukuliwa na Jokery

Interview ya makamu mwenyekiti na BNV blog moderator inakuja soon

No comments:

Post a Comment