Boko National Veterani Kamati Kuu(KK) Cont ...
Makamu Mwenyekiti
Team ya Boko National Veteran kamati kuu inaundwa na watu makini ambao ni proffesional and well educated,ambao pia ni wanamichezo thabiti.Leo ni wakati Vice Chairman
Jina Kamili:Edwin Polle
Nafasi KK:Makamu Mwenyekiti
Jina la Utani:Msukus,Vice
Jezi Namba:10
Nafasi Asilia:Middle of The Park
Nafasi Zingine:Mshambuliaji
Timu ya nyumbani anayopenda:Simba
Timu ya Epl:Liverpool
Timu ya Laliga:Real Madrid
Professional:Banker & Risk Expert
Mr Edwin Polle akiwa katika majukumu ya kila ndani ya ofisi yake,na Files za kutosha
Baada ya kazi Jembe Vice akiwa katika kambi set akifanya mazoezi ya moto kwa mikato ile ile ya merseyside
Mtaamu Vice akitoa huduma ya kwanza baada ya team member kutokwa na povu,kwa utamu wa kambi set
Eddo akiwa katika drilling nzito za passing
Mtaalamu Eddo (mwenye miwani) akiwa katika bench katika moja ya Mechi mazoezi akisubiria kuingia baada ya namba yake ya kudumu kuchukuliwa na Jokery
Interview ya makamu mwenyekiti na BNV blog moderator inakuja soon
Interview ya makamu mwenyekiti na BNV blog moderator inakuja soon
No comments:
Post a Comment