Monday, October 19, 2015

BNV yapambana against Team Captain wake

Wachezaji wa boko National Veteran wakiwasili uwanja wa boko beach.











wachezaji wakiwa wanasalimiana na kupeana majukumu madogo madogo na kubadilisha tayari kwa mnyukano






   


wakali wa Boko wakifanya warmup tayari kuwapa dozi team ya Twiga Cement


















Mechi hadi inaaisha Boko 3 na Twiga 3,man of the match alikuwa Papaa wa Bnv ambaye alifunga hat trick

No comments:

Post a Comment