Saturday, February 20, 2016

Matengenezo ya uwanja

Kamati Kuu ya Boko National Veterani imeamua kutengeneza uwanja kuelekea maandalizi ya Bonanza la Mwambao.
Chini ya Engineer Mtimbange (Baba pisi),ambaye anazingatia vipimo

kwa kiwango cha uwanja huu ambao ukikamilika unategemewa kuchezewa nyakati zote mchana na usiku
Tutaendelea kuwahabarisha wanafamilia wote wa Bnv na wanamichezo kwa ujumla.





vile vya Nou Camp.













Thursday, February 18, 2016

BNV yapata tuzo mbili katika bonanza la mwambao

Katika mashindano ya Bonanza la mwambao yaliyofanyika mjini bagamoyo BNV imejipatia tuzo mbili tofauti ambazo ni team bora ya yapili katika muda wote wa mashindano na team yenye nidhamu.
Hatimaye jihudi kubwa ya mazoezi yajulikanayo kama kambi set yameanza kuleta matunda.